PUNGUZA KILO 9 NDANI YA WIKI NNE!!!!

Breakfast, Lunch na Dinner kwa shilingi 10,000 tu kwa siku! piga 0715808038 kujiunga.

Tuesday, February 21, 2012

The Cabbage Soup Diet (quick fix diet)

Kumbuka, Diet hii ifuatwe kwa siku 7 tu na kupumzika kwa angalau wiki mbili kabla ya kuanza tena

Day One:

MATUNDA;  Kula matunda yoyote unayotaka kasoro ndizi. Kula matunda yako na Supu kwa siku ya kwanza. Kwa vinywaji- Chai au kahawa isiyo na sukari na maji

Day Two:

MBOGA MBOGA:Kula hadi uvimbiwe na mboga mboga freshi zilizopikwa au mbichi unazopendelea. Jaribu kutumia mboga za majani na uepuke maharage njegere na mahindi. Tumia mboga mboga na supu yako. Kwa chakula cha usiku jizawadie kiazi kikubwa cha kuokwa chenye siagi kidogo. Usile matunda kabisa leo.

Day Three:

CHANGANYA SIKU YA KWANZA NA YA PILI: Kula supu yako, matunda na mbog mboga. usile kiazi.

Day Four:

Ndizi na Maziwa yasiyokua na mafuta. (skimmed milk): kula ndizi mbivu  utakazo hadi 8 na glasi za maziwa utakavyo siku hii. siku hii ni kwaajili ya kukupunguzia tamaa ya vitu vitamu.

Day Five:

NYAMA NA NYANYA: Kula nyama isiyo na mafuta hadi kilo 1 na nyaya hadi 6. Kunywa angalau glasi 6 hadi 8 za maji kuondoa asid mwilini. unaweza kula kuku wa kuchemsha au kuokwa badala ya nyama ila ondoa kabisa ngozi ya kuku. Ukipenda tumia nyama au kuku siku hii, ila sio vyote.

Day Six:

NYAM NA MBOGA MBOGA: kula nyama upendanyo na mboga mboga siku hii. usile kabisa viazi leo, pia usisahau supu yako ya kabichi.

Day Seven:

Mchele wa brauni, juisi ya matunda isiyo na sukari ya ziada na mboga mboga. Kula hadi ushibe kabisa, ila usisahau supu yako walau mara moja.

5 comments:

  1. TUNAOMBA MUANDIKE KWA KISWAHILI ILI TUELEWE ZAIDI

    ReplyDelete
  2. tumekusikia mumie, tuatabadilisha post zetu

    ReplyDelete
    Replies
    1. hi wapendwa mbona tunapiga simu zenu hamupokei?je muko wapi?
      Naomba munipigie kwa namba hii.
      0713635949
      Nataka kujiunga na hii kitu urgently

      Delete
    2. Hi vipi hii diet ya cabbage unatengenezaje hiyo supu?tunataka tukimaliza kuendelea na hiyo

      Delete
  3. I know this web page presents quality depending content and additional stuff,
    is there any other web site which provides these things in
    quality?

    Also visit my web-site Toby Darrion

    ReplyDelete