PUNGUZA KILO 9 NDANI YA WIKI NNE!!!!

Breakfast, Lunch na Dinner kwa shilingi 10,000 tu kwa siku! piga 0715808038 kujiunga.

Tuesday, February 21, 2012

Egdepoint diet- Hii ndio diet tunayo wapa wateja wasio na hali yoyote ya kiafya



A.      EGDEPOINT Diet ya siku 14. (long term diet)
Day 1: Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari
           Mchana-mayai 2 & mboga za majani
            Usiku- nyama choma na kachumberi
Day 2: Asubuhi- Kahawa isiyo na sukari na mikate vipande 2
            Mchana- nyama, kachumberi na matunda
            Usiku- nyama 
Day 3: Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari na mikate vipande 2
            Lunch- boiled eggs & tomato salad
            Dinner- boiled meat & boiled green vegetables
Day 4:Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari na mikate vipande 2
            Mchana- yai na karoti
            Usiku-  mtindi na matunda
Day 5: Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari na karoti
           Mchana- samaki na saladi ya nyanya
            Usiku- nyama na mboga za majani
Day 6: Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari na mikate vipande 2
            Mchana- kuku wa kuchoma
            Usiku - mayai  na karoti
Day 7: Asubuhi-Kahawa isiyo na sukari
            Mchana -Nyama choma na tunda
            Usiku - CHOCHOTE!!!






UTAFANYA DIET HII KWA WIKI MBILI ALAFU UTAPUMZIKA WIKI MOJA KISHA URUDIE TENA WIKI MBILI HADI UTAKAPOFIKIA UZITO NA MUONEKANO UTAKAO.














Sijaweka vipimo vya vyakula na namna ya kupika kwa sababu maalum. Hii ni kwaajili ya kukupa picha ya vyakula gani utakua unaletewa kama utakua member wetu!
Bei ni shilingi 8,500 kwa siku nzima na utalipa kila mwisho wa mwenzi.






4 comments:

  1. Why coffe for breakfast?plz google how coffe interfere with diet

    ReplyDelete
    Replies
    1. coffee is the best breakfast for dieters my dear

      Delete
  2. hii diet inakubalika sana iwapo tu huta-cheat, na pia unatakiwa kuzingatia masharti....na anapokupa coffee ina maana afya yako umeshaeleza ni njema sana siyo mgogoro. otherswise tuwemo.mwenzako mie siku ya pili na-enjoy cos nimejipanga kiakili na kimwili kadhalika ki-mawazo akha wala hakuna ugumu.Lol

    ReplyDelete
  3. why not green tea my dia what if i dont like cofee??
    can i exchange it with green tea

    ReplyDelete