Ukiwa kwenye list ya wateja wetu wa EP diet kuna sheria lazima uzifuate ili ufikie uzito unaotaka/ target weight;
1. Lazima umalize lita mbili za maji unayoletewa siku hiyo,
2. Lazima utembee/ ukimbie/ mazoezi au kufanya shughuli yoyote itakayokutoa jasho kila siku,
3. Usitumie kilevi cha aina yoyote/ soda/ juis/ vitu vyenye sukari kwa kipindi cha wiki mbili (siku 14) ambacho uko kwenye diet,
4. Pata kifungua kinywa kuanzia saa nne asubuhi kuendelea, hii ni kuupa mwili muda wa kutumia chakula ulichokula usiku ,
5.USI CHEAT DIET YAKO! usijiibe na kula chakula tofauti na unacholetewa hata kama ni kijiko kimoja.
USIPOPUNGUA KWA KUFUATA SHERIA HIZI, EP watakurudishia hela yako ya chakula cha mwenzi mzima!!!
1. Lazima umalize lita mbili za maji unayoletewa siku hiyo,
2. Lazima utembee/ ukimbie/ mazoezi au kufanya shughuli yoyote itakayokutoa jasho kila siku,
3. Usitumie kilevi cha aina yoyote/ soda/ juis/ vitu vyenye sukari kwa kipindi cha wiki mbili (siku 14) ambacho uko kwenye diet,
4. Pata kifungua kinywa kuanzia saa nne asubuhi kuendelea, hii ni kuupa mwili muda wa kutumia chakula ulichokula usiku ,
5.USI CHEAT DIET YAKO! usijiibe na kula chakula tofauti na unacholetewa hata kama ni kijiko kimoja.
USIPOPUNGUA KWA KUFUATA SHERIA HIZI, EP watakurudishia hela yako ya chakula cha mwenzi mzima!!!
No comments:
Post a Comment